Mbunge wa Busanda, Mhandisi Tumaini Magessa ametoa mchango bungeni Dodoma Novemba 5,2021 katika mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2022/2023 ambapo ameitaka Serikali kutenga asilimia 10 katika Bajeti Kuu ili kukuza kilimo nchini. Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, ujue kwa kina kuhusu mchango wake huo.......IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
Your Ad Spot
Nov 6, 2021
MBUNGE MAGESSA ATAKA ITENGWE ASILIMIA 10 YA BAJETI KUU KUKUZA KILIMO+video
Mbunge wa Busanda, Mhandisi Tumaini Magessa ametoa mchango bungeni Dodoma Novemba 5,2021 katika mapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2022/2023 ambapo ameitaka Serikali kutenga asilimia 10 katika Bajeti Kuu ili kukuza kilimo nchini. Mdau, nakuomba uendelee kusikiliza kupitia clip hii ya video, ujue kwa kina kuhusu mchango wake huo.......IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
Tags
featured#
Kilimo#
Share This
About Author CCM Blog
Kilimo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇