Naibu Waziri, Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Dkt. Festo Dugange (kushoto) akibadilishana mawazo na Mbunge wa Njombe Mjini, Deo Sanga kwenye viwanja vya Bunge.
Mbunge wa Makambako, Deo Sanga akiuliza swali kuhusu tatizo la miradi ya maji |
Mbunge wa Muleba Kaskazini, Charles Kaijage (kushoto) akizungumza jambo na Mbunge wa Tabora Kaskazini, Almas Maige.
Mbunge wa Manyoni Mashariki, Yahya Masare akimsikiliza kwa makini Mbunge wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu
Mbunge wa Babati Vijijini, Daniel Sillo. akizungumza jambo na Mbunge wa Kyela, Ali Jumbe Mlagila baada ya kutoka bungeni leo jioni.
Mbunge wa Namtumbo, Vita Kawawa wakifurahia jambo na Mbunge wa Sengerema, Hamis Tabasamu walipokuwa wakiondoka baada Bunge kuahirishwa.
Wabunge mbalimbali wakibadilishana mawazo kwenye viwanja vya Bunge.
Mbunge wa Geita Mjini, Costantine Kanyasu akiingia bungeni.
Wabunge wakiingia bungeni
Mbunge wa Viti Maalumu, Hadija Hassan
Mbunge wa Vunjo, Dkt Charles Kimei
Mbunge wa Manyoni Mashariki, Yahya Masare akimsikiliza kwa makini Mbunge wa Singida Mashariki, Miraji Mtaturu
Mbunge wa Babati Vijijini, Daniel Sillo. akizungumza jambo na Mbunge wa Kyela, Ali Jumbe Mlagila baada ya kutoka bungeni leo jioni.
Mbunge wa Namtumbo, Vita Kawawa wakifurahia jambo na Mbunge wa Sengerema, Hamis Tabasamu walipokuwa wakiondoka baada Bunge kuahirishwa.
Wabunge mbalimbali wakibadilishana mawazo kwenye viwanja vya Bunge.
Mbunge wa Geita Mjini, Costantine Kanyasu akiingia bungeni.
Wabunge wakiingia bungeni
Mbunge wa Viti Maalumu, Hadija Hassan
Mbunge wa Vunjo, Dkt Charles Kimei
Mbunge wa Viti Maalumu kutoka Mkoa wa Njombe, Neema Mgaya akiingia bungeni.
PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇