Ndege mpya mbili aina ya Airbus A220-300, zilizonunuliwa na Serikali ya Tanzania zimeondoka nchini Canada kuja Tanzania.
Kwa mujibu wa Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, ndege hizo zitapokelewa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Sheikh Abeid Amani Karume Mjini Unguja, Zanzibar kesho Oktoba 8, 2021 saa 9:00 Alasiri na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi.
Ndege hizi zitakamilisha hesabu ya ndege 11 zilizonunuliwa na kuwasili hapa nchini, Ndege nyingine 5 (Boeing 787-8 Dreamliner (2), Airbus A220-300 (2) na Bombardier Dash 8 Q400 (1) zimeshalipiwa na zitakuja baadaye
Your Ad Spot
Oct 7, 2021
Home
featured
Kitaifa
NDEGE MBIZI AIRBUS A220 NA 300 ZILIZONUNULIWA NA SERIKALI, KUWASILI NCHINI KESHO, KUPOKEWA ZANZIBAR NA RAIS DK. MWINYI
NDEGE MBIZI AIRBUS A220 NA 300 ZILIZONUNULIWA NA SERIKALI, KUWASILI NCHINI KESHO, KUPOKEWA ZANZIBAR NA RAIS DK. MWINYI
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About Bashir Nkoromo
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇