LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 23, 2021

MAHAFALI SHULE YA AWALI YA ST ANNE MARIE ACADEMY YAFANA

  Mkurugenzi wa shule ya St Anne Marie Academy Dk. Jasson Rweikiza akilishwa keki na mmoja wa wahitimu wa shule ya awali wakati wa mahafali yaliyofanyika mwishoni mwa wiki shuleni hapo Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam.
Wanafunzi wa shule ya awali St Anne Marie Acaemy wakicheza wimbo wa Saida Kalori wa chambua kama karanga wakati wa mahafali yao yaliyofanyika mwishoni mwa wiki shuleni hapo Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam.
  Wanafunzi wa kidato cha nne wa shule ya St Anne Marie Academy wakionyesha umahiri wao wa kucheza nyimbo za bongo flavor wakati wa mahafali ya shule ya awali yaliyofanyika mwishoni mwa wiki shuleni hapo Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam.

Mgeni rasmi kwenye mahafali hayo, Joyce Chamuhuo, ambaye ni mkuza mitaala wa Taasisi ya Elimu (TIE), akimkabidhi cheti mmoja wa wahitimu wa shule ya awali St Anne Marie Academy

Wanafunzi wa shule ya awali wakiimba nyimbo mbalimbali kwenye mahafali hayo

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages