LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 5, 2021

KATIBU MKUU MPYA WA JUMUIYA YA WAZAZI GILBERT KALIMA KUPOKEWA MCHANA HUU JIJINI DODOMA

 

Gilbert Kalima

Na Bashir Nkoromo, CCM Blog

Katibu Mkuu Jumuiya ya Wazazi Tanzania Gilbert Kalima anapokelewa rasmi leo Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) jijini Dodoma leo.


Kwa nujibu wa Taarifa, mapokezi hayo yatafanyika kuanzia saa 7 mchana, na yatahudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Jumuiya hiyo, wa CCM, Umoja wa Vijana wa CCM na Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT).


Karima aliteuliwa hivi karibuni katika Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kikichofanyika jijini Dar es Salaam chini ya Mwenyekiti wa CCM, Samia Suluhu Hassan.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages