LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 16, 2021

RAIS DK. MWINYI AZUNGUMZA NA UONGOZI WA CHUO CHA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE NA TAASISI YA MKAPA FOUNDATION, KWA NYAKATI TOFAUTI, IKULU JIJINI ZANZIBAR, LEO

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akikapidhiwa Taarifa ya Utekelezaji wa Taasisi ya Mkapa Foundation na Mwenyekiti wa Bodi Dk. Adeline Kimambo, baada ya kumaliza mazungumzo yao yaliofanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar, leo.
 
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Benjamin Mkapa Foundation Dk. Adeline Kimambo akitowa maelezo ya utendaji wa Taasisi hiyo wakati alipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa mazungumzo na kujitambulia akiwa na Mjumbe wa Bodi Dk. .Ali Uki, mazungumzo hayo yamefanyika Ikulu Zanzibar., leo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Taasisi ya Benjaman Mkapa ukiongozwa na Mwenyekiti wa Taasisi hiyo Dr. Adeline Kimambo (kulia kwa Rais) na Mjumbe wa Bodi Dr. Ali Uki na (kushoto kwa Rais) Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Mkapa Dr.Ellen Mkondya Senkoro na Mkurugenzi Mipango Rahel Sheiza.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Ujumbe Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere ukiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo Stephen Wasira na Naibu Mkuu wa Chuo (PFA) Dk.Godwin Kaganda (Kushoto) na Mkuu wa Chuo Prof. Shadrack Mwakalila (Kulia) walipofika Ikulu Jijini Zanzibar kwa ajili ya mazungumzo na kujitambulisha.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa katika picha ya pamoja na Ujumbe wa Chuo cha Kumbukumbu ya  Mawalimu Nyerere baada ya kumaliza mazunguzo yao, Ikulu Jijini Zanzibar leo. Kulia ni Mkuu wa Kampasi ya Karume Zanzibar Dk.Rose Mbwete na Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo hicho Stephen Wasira  na kushoto ni Mkuu wa Chuo Prof.Shadrack S. Mwakalila na Naibu Mkuu Chuo (PFA) Dk. Godwin Kaganda. (Picha zote na Ikulu)

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages