LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Dec 15, 2020

MSANII MZEE JENGUA WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA, LEO

Marehemu Jangua
Mkuranga, Pwani

Msanii maarufu wa Bongo Movie hapa nchini Mohammed Fungafunga aliyekuwa maarufu katika tasnia hiyo kwa jina la maarufu la Jengua (Pichani) amefariki dunia leo Disemba 15, 2020, Mkuranga mkoani Pwani baada ya kuugua kwa muda mrefu..

Kwa mujibu wa taarifa, Marehemu Jengua alikua akisumbuliwa na maradhi ya kupooza.


Enzi za uhai wake, Mzee Jengua aliigiza maigizo mbalimbali ya kuvutia kama 'Kidedea', 'Handsome wa Kijiji', na 'Kashinde'. 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages