Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anayemaliza muda wake Dk. Tulia Ackson akichukua fomu ya kuwania tena nafasi hiyo katika Bunge lijalo la 12, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), katika Ofisi za Makao Makuu ya CCM Jijini Dodoma, leo.Dk. Tulia akizungumza na Waandishi wa habari baada ya kuchukua fomu ya kuwania Unaibu Spika, leo
Your Ad Spot
Nov 3, 2020
TULIA AKSON ACHUKUA FOMU KUWANIA UNAIBU SPIKA JIJINI DODOMA, LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot


No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇