LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 29, 2020

FRED LOWASSA ASHINDA KWA KISHINDO UBUNGE MONDULI

 

Msimamizi wa uchaguzi katika Jimbo la Monduli amemtangaza Fredrick Lowassa wa CCM kuwa mshindi wa Jimbo hilo kwa kupata kura 72,502 sawa na asilimia 93.23% akifuatiwa na Cessilia Ndossi wa CHADEMA aliyepata kura 4,637 sawa na asilimia 5.96%, Chogga wa ACT 485 sawa asilimia 0.62% na Kijuu NRA 145 sawa asilimia 0.19%.

 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages