LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 3, 2020

DK MAGUFULI AUNGURUMA KAMPENI ZANZIBAR



Wananchi wa Zanzibar waliojitokeza kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli alipokuwa akiwahutubia katika viwanja vya Mnazi mmoja Kisiwani Zanzibar leo tarehe 03 Oktoba 2020

Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM, Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Zanzibar katika mkutano wa Kampeni za Urais kwa CCM uliofanyika katika uwanja wa Mnazi mmoja kisiwani Zanzibar leo tarehe 03 Oktoba 2020.





 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages