LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 30, 2020

SHEIKH HUSSEIN AFIF ACHAGULIWA KUWA MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA BAKWATA MKOA WA DAR ES SALAAM

 Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Bakwata Mkoa wa Dar es salaam Sheikh Alhad Hussein Afif .
Wajumbe mbalimbali wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kumalizika uchaguzi wa kumtafuta Mwenyekiti mpya wa Halmashauri ya Bakwata Mkoa wa wa Dar es salaam ukiongozwa na Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Sheikh Alhad  Mussa Salum ( wa tatu kulia waliokaa). Kushoto kwake ni  Sheikh Hamis Nataka Mwenyekiti wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Bakwata. Kulia ni Sheikh Hussein Afif Mwenyekiti mpya wa Halmashauri Mkoa wa Dar es Salaam  Bakwata. Uchaguzi huo ilifanyika katika Msikiti wa Mtoto jijini Dar es Salaam. PICHA NA ASHRACK MIRAJI                     

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages