LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 4, 2019

TMDA yachangia taulo za kike pakiti 2,448 kwa wanafunzi kidato cha nne walioweka kambi ya kitaaluma Simiyu


 TMDA imechangia taulo za kike pakiti 2,448 kwa wanafunzi wa kidato cha nne walio kambi ya kitaaluma ili kuunga mkono jitihada za Mkoa wa Simiyu katika kukuza elimu ili kumuunga mkono Mkuu wa mkoa huo Bw. Anthony Mtaka.
Pichani ni Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Umma Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) akimkabidhi Taulo za kike Naibu Waziri wa Maji Jumaa Aweso aliyekuwa Mgeni rasmi wa hafla hiyo katika hafla hiyo Katikati ni Mkuu wa mkoa huo Anthony Mtaka.
Bi. Gaudensia Simwanza Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa Ummaakiwa pamoja na wanafunzi wa kike walioweka kambi ya kitaaluma mkoani Simiyu wakionesha taulo hizo.

Wanafunzi wakishangilia mara baada ya kupokea taulo hizo.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages