LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 16, 2019

RAIS DK. MAGUFULI AENDELEA NA ZIARA YAKE MIKOA YA KUSINI


  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia na wananchi wa Lukuledi wilayani Masasi Mkoani Mtwara wakati akiendelea na ziara yake mikoa ya kusini Leo Oktoba 16, 2019
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na wanafunzi wa Shule ya Lukuledi Maalumu wenye ulemavu wa kusikia wakati aliposimama kusalimia wananchi wa Lukuledi wilayani Masasi Mkoani Mtwara wakati akiendelea na ziara yake mikoa ya kusini Leo Oktoba 16, 2019
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiserbuka na wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Kassim Majaliwa baada ya kuhutubia mkutano wa hadhara mjini Rw3angwa mkoa wa Lindi wakati akiendelea na ziara yake mikoa ya kusini Oktoba 18, 2019 Picha na IKULU

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages