LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 16, 2019

MRIDHI WA TUNDU LISSU APITISHWA NA KAMATI KUU


Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais Dkt. John Magufuli akiendesha Kikao cha Kamati Kuu ya ccm kilichofanyika Makao Makuu ya CCM katika ukumbi wa Halmashauri ya ccm jijini Dodoma.
Dkt. Magufuli akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Dodoma akitokea jijini Mwanza ambapo leo tarehe 16 julai 2019 ameendesha Kikao cha Kamati Kuu ya ccm kilichofanyika Makao Makuu ya CCM  katika ukumbi wa halmashauri ya ccm jijini dodoma (PICHA NA IKULU)

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages