Waziri wa Nchi-Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, Angellah Kairuki akifafanua jambo kuhusu sekta ya uwekezaji nchini kwa Balozi wa Ufaransa Nchini Tanzania, Frederic Clavier alipomtembelea leo Ofisini Kwakwe Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi-Ofisi ya Waziri Mkuu, Angellah Kairuki akifafanua jambo kuhusu sekta ya uwekezaji nchini kwa Balozi wa Norway nchini, Elisabath Jacobsen walipokuatana leo Ofisini kwakwe Jijini Dar es Salaam.Waziri wa Nchi-Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, Angellah Kairuki, akiagana na Mgeni wake,
Balozi wa Norway nchini, Elisabath Jacobsen, baada ya mazungumzo mafupi kuhusu sekta ya uwekezaji yalifanyika Ofisini Kwakwe Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi-Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, Angellah Kairuki, akifafanua jambo kwa Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Maendeleo kutoka Marekani USAID, Andy Karas katika mazungumzo mafupi yalifanyika Ofisini Kwakwe Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi-Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, Angellah Kairuki akizungumza na Balozi wa Uholanzi nchini, Jeroen Verheul, alipomtembelea Ofisini Kwakwe Jijini Dar es Salaam. Picha na Paschal Dotto-MAELEZO
Your Ad Spot
Apr 17, 2019
WAZIRI KAIRUKI AKUTANA NA MABALOZI WA NCHI TATU KUZUNGUMZI UWEKEZAJI, LEO
Tags
featured#
Kitaifa#
Share This
About Khamisi Mussa
Kitaifa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇