LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 13, 2019

"UONGOZI NI UTUMWA NA SIYO UFALM"

Mtoto wa marehemu Waziri Mkuu wa zamani Edward Moringe Sokoine, Joseph Sokoine, amesema kuwa baba yake alikuwa ni mtu wa kufanya kazi sana bila kuchoka na kwa ajili ya ustawi wa kila mtu na watu wake na alikuwa anasema "Uongozi ni utumwa na siyo Ufalme."

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages