LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 19, 2019

MWENDOKASI YAUA

Gari ya mwendokasi yenye namba za usajili T 873 DGV limedaiwa kusababisha ajali kutokana na mwendo mkali katika eneo la mataa ya Magomeni Mapipa ambapo limeligonga gari aina ya Toyota March lenye namba za usajili T 968 DNZ na dereva wa gari hilo kudaiwa kufariki papo hapo kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages