LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 15, 2018

ZAIDI YA WATOTO 60 WAPOKEA EKARIST TAKATIFU KATIKA KANISA LA MTAKATIFU YOHANE TEGETA MASAITI DAR ES SALAAM LEO

Janeth Kazungu akiwa katika pozi baada ya kupokea Ekaristi Takatifu katika kanisa la Mtakatifu Yohane Mtume na Mwinjili ambapo zaidi ya watoto 60 wamepokea
James Kazungu akiwa katika pozi mara baada ya kupokea Ekaristi Takatifu katika kanisa la Mtakatifu Yohane Mtume na Mwinjili ambapo zaidi ya watoto 60 wamepokea

 Janeth Kazungu akiwa katika pozi na kaka yake James Kazungu mara walipotoka katika Ibada ya Ekaristi Takatifu katika kanisa la Mtakatifu Yohane Mtume na Mwinjili ambapo zaidi ya watoto 60 wamepokea
 Paroko wa Kanisa la Roman Catholic la Mtakatifu Yohane Mtume na Mwinjili, Father William (wapili aliyekaa) akiwa katika picha ya pamoja na watoto hao

 Watoto wakiwa katika Picha ya pamoja mara baada ya kupokea Ekaristi Takatifu katika kanisa la Mtakatifu Yohane Mtume na Mwinjili ambapo zaidi ya watoto 60 wamepokea

 Dokt Mwandamizi wa Taasisi ya Mifupa (MOI) Daktari Paul Kazungu (kushoto) aliyempakata mtoto akifUatilia jambo wakati watoto Wao walipokuwa wakipokea Ekaristi Takatifu katika kanisa la Mtakatifu Yohane Mtume na Mwinjili ambapo zaidi ya watoto 60 wamepokea
 Janeth Kazungu katika pozi na mdogo wake Julieth mara baada ya kupokea  Ekaristi Takatifu katika kanisa la Mtakatifu Yohane Mtume na Mwinjili ambapo zaidi ya watoto 60 wamepokea 
 Mwalimu victoria Kazungu akimvisha taji mtoto wake, James Kazungu mara baada ya kupokea Ekaristi Takatifu katika kanisa la Mtakatifu Yohane Mtume na Mwinjili ambapo zaidi ya watoto 60 wamepokea
 Daktari Mwandamizi wa Taasisi ya Mifupa (MOI) Dkt,Paul Kazungu akivisha taji mtoto wake, Janeth Kazungu mara alipo pokea Ekaristi Takatifu katika kanisa la Mtakatifu Yohane Mtume na Mwinjili ambapo zaidi ya watoto 60 wamepokea
 Julieth Kazungu (2) akimvisha taji dada yake, Janeth Kazungu mara baada ya kupokea  Ekaristi Takatifu katika kanisa la Mtakatifu Yohane Mtume na Mwinjili ambapo zaidi ya watoto 60 wamepokea 
 Julieth Kazungu (2) akimwambia jambo dada yake Janeth Kazungu mara baada ya kupata  Ekaristi Takatifu katika kanisa la Mtakatifu Yohane Mtume na Mwinjili ambapo zaidi ya watoto 60 wamepokea

  Paroko wa Kanisa la Roman Catholic la Mtakatifu Yohane Mtume na Mwinjili Father William (wa watu kushoto) katika pocha ya pamoja na familia ya Dokt, Kazungu mara baada ya Ibada ya Ekaristi Takatifu katika kanisa la Mtakatifu Yohane Mtume na Mwinjili ambapo zaidi ya watoto 60 wamepokea

Daktari Mwandamizi wa Taasisi ya Mifupa (MOI) Dkt,Paul Kazungu (kulia) akiwa na familia yake baada ya watoto wake wawili mapacha kupokea Ekaristi Takatifu katika kanisa la Mtakatifu Yohane Mtume na Mwinjili ambapo zaidi ya watoto 60 wamepokea. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages