LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 1, 2020

MARIN HASSAN MARIN

Aliyekuwa mtangazaji nguli wa Shirika la  Utangazaji Tanzania (TBC) Marin Hasan Marin amefariki dunia usiku wa kuamkia leo

Mkurugenzi wa Shirika hilo la Utangazaji Tanzania (TBC), Dk. Ayub Rioba amesema kifo cha Marin Hassan Marin kicmetokea leo asubuhi katika Hospitali ya Jeshi  Lugalo, jijini Dar es Salaam.


Amesema taarifa  zaidi juu ya kifo cha Marin zitaendelea kutolewa na uongozi wa TBC.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages