LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 3, 2017

BULEMBO NDANI YA WILAYA YA KASULU MKOANI KIGOMA

 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Alhaj Abdallah Bulembo akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Kasulu, Mabalozi, Watendaji wa CCM na wa Serikali, katika kikao cha ndani kilichofanyika leo, Juni 2, 2017, mjini Kasulu, akiwa katika mwendelezo wa ziara zake za Kichama mikoani.
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Alhaj Abdallah Bulembo akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Kasulu, Mabalozi, Watendaji wa CCM na wa Serikali, katika kikao cha ndani kilichofanyika leo, Juni 2, 2017, mjini Kasulu, akiwa katika mwendelezo wa ziara zake za Kichama mikoani.
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Alhaj Abdallah Bulembo akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Wilaya ya Kasulu, Mabalozi, Watendaji wa CCM na wa Serikali, katika kikao cha ndani kilichofanyika leo, Juni 2, 2017, mjini Kasulu, akiwa katika mwendelezo wa ziara zake za Kichama mikoani. Kushoto ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk. Amani Kaborou na Kulia ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kasulu Ezekiel Kaloba.
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk. Amani Kaborou wakati akimkaribisha mgeni rasmi kuzungumza katika kikao hicho. Kushoto ni Mbunge wa Viti Maalum Josephine Ngezabuke, Katibu wa Siasa na Oganaizesheni Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi Tanzania Daniel Mgaya, Katibu wa CCM Wilaya ya Kasulu Ndugu Manyonyi na Kuliani Katibu wa CCM mkoa wa Kigoma Naomi Kapambala, Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kasulu Ezekiel Kaloba na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania Alhaj Abdallah Bulembo
 Katibu wa CCM mkoa wa Kigoma, Naomi Kapambala alipokuwa akitoa maneno ya utangulizi katika kikao hicho. Kulia ni Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kigoma Dk. Amani Kaborou na Mgeni Rasmi Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania Alhaj Abdallah Bulembo
 Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kasulu Ezekiel Kaloba alipokuwa akifungua kikao hicho
 Wajumbe wakishangilia wakati Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Alhaj Abdallah Bulembo alipokuwa aliposema maneno yenye mguso wakati akizungumza nao kwenye kikao hicho. 
Wajumbe wakimsikiliza kwa makini Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Alhaj Abdallah Bulembo alipokuwa alipokuwa akizungumza nao kwenye kikao hicho.PICHA: BASHIR NKOROMO

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages