LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 20, 2015

NAPE NNAUYE AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA NORWAY MJINI DODOMA

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye  akizungumza na Balozi wa Norway Nchini Bi. Hanne - Marie Kaarstad kwenye ofisi za CCM Makao Makuu mjini Dodoma.
  Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye  akimsindikiza Balozi wa Norway Nchini Bi. Hanne - Marie Kaarstad aliyemtembelea leo kwenye ofisi za CCM Makao Makuu mjini Dodoma.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Nape Nnauye  akiagana na Balozi wa Norway Nchini Bi. Hanne - Marie Kaarstad kwenye ofisi za CCM Makao Makuu mjini Dodoma.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages