LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 5, 2026

MZINDAKAYA AIZAWADIA SHULE YA DALIZON BUNGENI

Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Rukwa, Jacqueline Mzindakaya akimkabidhi mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Dalizon kutoka Arusha sh. milioni 1 zawadi ya wanafunzi na walimu wa shule hiyo waliotembelea Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma Septemba 3, 2026.








IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203



 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages