LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 6, 2026

RAIS SAMIA AMPELEKA MEJA JENERALI MALAYSIA

 RAIS Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi na kumpangia kituo Balozi. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, uteuzi na kupangiwa kituo ni kama ifuatavyo: 


(i) Dkt. Suleiman Peter Kiula ameteuliwa kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO). Dkt. Kiula anachukua nafasi ya Shaibu Ramadhan Matessa ambaye atapangiwa majukumu mengine; 

(ii) Balozi Meja Jenerali Mbaraka Naziad Mkeremy amepangiwa kuwa Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Malaysia.



 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages