Chama cha Mapinduzi (CCM) kilianzishwa mwaka 1977 baada ya kuunganisha vyama vya TANU na ASP. Tangu kuanzishwa kwake, nafasi ya Katibu Mkuu wa Chama Taifa imeshikwa na viongozi mbalimbali kama:-
1. Pius Msekwa (1977–1981)
2. Balozi Daudi Mwakawago (1981–1984)
3. Rashid Kawawa (1982–1990)
4. Horace Kolimba (1990–1995)
5. Dk. Lawrence Gama (1995–1997)
6. Philip Mangula (1997–2007)
7. Yusuf Makamba (2007–2011)
8. Wilson Mukama (2011–2012)
9. Abdulrahman Kinana (2012–2018)
10. Dk. Bashiru Ally (2018–2021)
11. Daniel Chongolo (2021–2023)
12. Dk. Emmanuel Nchimbi (2024–2025)
13. Dk. Asha-Rose Migiro (2025–sasa)
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇