LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 1, 2026

KAMATI 4 ZA BUNGE KUANZA VIKAO JUMATATU


Kamati Nne (4) za Kudumu za Bunge zitaanza Vikao vyake Jumatatu, tarehe 3 Agosti, 2026 katika Ofisi ya Bunge Jijini Dodoma. Kamati hizo ni Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Sheria Ndogo, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC).



 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages