Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa reli ya kisasa (SGR) mkoani Kigoma leo, tarehe 20 Julai 2026.
Mradi huo unatarajiwa kuboresha usafiri na usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo, kuimarisha biashara, kuchochea ukuaji wa uchumi na kuongeza fursa za uwekezaji katika Mkoa wa Kigoma na maeneo ya ukanda wa Magharibi.
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇