LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 29, 2026

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA CHINA NCHINI MHE. CHEN, IKULU YA TUNGUU, ZANZIBAR.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akipokea Salaam Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mhe Xi Jinping 

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China nchini Tanzania ni Mhe. Chen Mingjian, Ikulu ya Tunguu, Zanzibar tarehe 28 Julai, 2026.

 


No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages