Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameihoji Serikali bungeni leo Juni 23, 2026, kwamba haioni haja ya kuweka masharti kwa Wafanyabiashara wanaovuna miti ili wachangie kwenye upandaji wa miti au Mfuko wa TFS.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇