LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 11, 2026

TAYARI TUMEPATA MCHORO WA AWALI WA UJENZI WA UWANJA WA YANGA- RAIS HERSI

 “Kwenye ujenzi wa uwanja tumefika kwenye eneo zuri sana. Tunafanya mchakato wetu kwa umakini mkubwa na kwa usahihi. 


Tuliwatangaza GSM kuwa washindi wa tenda ya ujenzi wa uwanja. Tayari tumepata mchoro wa awali wa uwanja. Klabu imeshatoa maoni kuhusu mchoro huo. Jana tumekamilisha michoro yote na gharama za ujenzi”



 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages