Waziri wa Madini Anthony Mavunde ametangaza kufuta leseni 40 za madini ambazo wawekezaji wake wamekiuka sheria na kanuni.Aidha, Mavunde amepiga marufuku uvamizi wa maeneo ya madini kwa wasio na leseni na kwamba watakaobainika watachukuliwa hatua kali za kisheria.
Mavunde ameeleza uamuzi huo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari jijini Dodoma Aprili 15,2026
Baadhi ya maafisa wa Wizara ya Madini.
Baadhi ya waandishi wa habari wakiwa katika mkutano huo.
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇