LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 20, 2026

WAZIRI MKUU MSTAAFU MAJALIWA AKUTANA NA KATIBU WA CCM MKOA WA DSM STAN MKANDAWILE KWENYE IFTAR YA SHEIKH MKUU


Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa, akiteta jambo na Katibu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mko wa Dar es salaam, Komredi Stanley Mkandawile (MNEC) baada ya kushiriki Iftar iliyoandaliwa na Mufti wa Tanzania, Sheikh Mkuu Dk. Aboubakary Zuberi, katika Makao Makuu ya Baraza la Waislam Tanzania(BAKWATA), Kinondoni, jijini Dar es Salaam, jana, Machi 19, 2026.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages