LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 20, 2026

RAIS SAMIA AWATAKIA EID MUBARAK


 SALAMU ZA EID EL-FITRI

Nawatakia Waislamu na Watanzania wote Sikukuu njema ya Eid el-Fitri.

Tuyaishi na kuyaendeleza mema yote tuliyojifunza katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani: upendo, huruma na kusaidiana, ili kuimarisha maadili na mshikamano katika jamii zetu.

Tusherehekee kwa utulivu, tukidumisha umoja na kulinda amani ya nchi yetu, kwa kuwa amani ndio msingi wa ustawi na maendeleo ya Taifa letu.

Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

_

#TanzaniaYetuSote

#NchiYetuKwanza

MaendeleoEndelevu

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages