LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 5, 2026

MWANYIKA ATAKA SHULE 3 ZIPANDISHWE HADHI NJOMBE



Mbunge wa Njombe Mjini, Deodatus Mwanyika ameitaka Serikali kupandisha hadhi shule tatu za Sekondari katika jimbo la Njombe Mjini.


Mwanyika alitoa ombi hilo wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni Dodoma Februari 5, 2026.


 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages