Spika wa Bunge la India, Mhe. Shri Om Birla amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu, alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini New Delhi, wakati wa Mkutano wa 28 wa Maspika na Wenyeviti wa Bunge wa Jumuiya ya Madola unaoendelea nchini India.
Spika wa Bunge la India, Mhe. Shri Om Birla amekutana na kufanya mazungumzo na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mussa Azzan Zungu, alipomtembelea ofisini kwake Bungeni Jijini New Delhi, wakati wa Mkutano wa 28 wa Maspika na Wenyeviti wa Bunge wa Jumuiya ya Madola unaoendelea nchini India.




No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇