LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 20, 2026

JKT YATANGAZA NAFASI KWA VIJANA KUJIUNGA NA MAFUNZO

MKUU wa Tawi la Utawala wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Brigedia Jenerali Hassan Mabena akitangaza kwa niaba ya Mkuu wa JKT, Meja Jenerali  Rajabu Mabele nafasi za vijana kujiunga na mafunzo ya  jeshi hilo ambapo pamoja na mambo mengine vijana hao watapata mafunzo ya uzalendo wa Nchi katika  mitandao. Usajili kwa vijana raia wa Tanzania Bara na Visiwani utaanza Januari 26 hadi Februari 26, 2026 na watatakiwa kuripoti katika makambi ya JKT kuanzia Februari 27 hadi Machi 4 mwaka huu.

Nafasi hizo zimetangazwa mbele ya waandishi wa habari katika mkutano uliofanyika Makao Makuu ya JKT jijini Dodoma leo Januari 20, 2026.


Brigedia Jenerali Hassan Mabena


 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages