LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 6, 2026

𝗗𝗞𝗧. 𝗠𝗜𝗚𝗜𝗥𝗢 𝗞𝗨𝗔𝗡𝗭𝗔 𝗭𝗜𝗔𝗥𝗔 𝗠𝗞𝗔𝗞𝗔𝗧𝗜 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗞𝗨𝗧𝗔𝗡𝗔 𝗡𝗔 𝗞𝗨𝗭𝗨𝗡𝗚𝗨𝗠𝗭𝗔 𝗡𝗔 𝗠𝗔𝗕𝗔𝗟𝗢𝗭𝗜 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗦𝗛𝗜𝗡𝗔

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. 𝗔𝘀𝗵𝗮-𝗿𝗼𝘀𝗲 𝗠𝗶𝗴𝗶𝗿𝗼 anatarajiwa kuanza ziara ya kukutana na kuzungumza na Mabalozi wa Mashina katika kukijenga chama na kuimarisha Uhai wa Jumuiya zake.

Balozi Dkt. Migiro ataanza ziara hiyo siku ya tarehe 07 Januari 2026 kwa kukutana na Mabalozi wa Mashina wa Wilaya ya Temeke na Kigamboni katika ukumbi wa TPA Jijini Dar es salaam.

Kauli mbiu katika ziara hii ni 𝙎𝙝𝙞𝙣𝙖 𝙇𝙖𝙠𝙤 𝙇𝙞𝙣𝙖𝙠𝙪𝙞𝙩𝙖.

#CCMImara
#KaziNaUtuTunasongaMbele



 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages