Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Dodoma, ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu wa mkoa huo, Dkt. Neema Majule akitoa neno la pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa hotuba nzuri aliyoitoa kwa Taifa kupitia mkutano na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam Desemba 2, 2025 kwenye Ukumbi wa JNICC jijini Dar es Salaam. Dkt. Majule ametoa pongezi hizo wakati wa Kongamano la Wanawake Tanzania lililokuwa na kauli mbiu ya Mama ni Amani kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Desemba 4, 2025. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203
Your Ad Spot
Dec 5, 2025
Home
featured
Habari
NAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KUTOA HOTUBA KWA UWAZI, UJASIRI NA UCHUNGU - DKT. MAJULE
NAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA KUTOA HOTUBA KWA UWAZI, UJASIRI NA UCHUNGU - DKT. MAJULE
Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) Mkoa wa Dodoma, ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu wa mkoa huo, Dkt. Neema Majule akitoa neno la pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kwa hotuba nzuri aliyoitoa kwa Taifa kupitia mkutano na wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam Desemba 2, 2025 kwenye Ukumbi wa JNICC jijini Dar es Salaam. Dkt. Majule ametoa pongezi hizo wakati wa Kongamano la Wanawake Tanzania lililokuwa na kauli mbiu ya Mama ni Amani kwenye Ukumbi wa Jakaya Kikwete jijini Dodoma Desemba 4, 2025. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA - 0754264203
Tags
featured#
Habari#
Share This
About CCM Blog INVITEE
Habari
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇