LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 18, 2025

WAZIRI ALIYE NA UZITO AKAPUNGUZE KIDOGO AENDANE NA KASI YA KUWATUMIKIA WANANCHI - RAIS SAMIA

Rais wa Jamhuiri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Samia Suluhu Hassan akihutubia wakati wa hafla ya uapisho wa mawaziri na manaibu waziri Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo Novemba 18, 2025 ambapo amewaambia mawaziri hao kwamba wamebeba dhamana ya kazi na si ufahari pia wajue wanawajibika kwa wananchi na Taifa kwa ujumla.

Aidha, hakusita kusema kwamba atakayediriki kuubeba uwaziri kama ufahari atamwajibisha mara moja.



IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA-0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages