LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 15, 2025

UMOJA WA WAZAZI CCM WAMPONGEZA RAIS SAMIA KWA HOTUBA NZURI INAYOLETA MARIDHIANO


 Mwenyekiti wa Umoja wa Wazazi Jumuiya ya Chama Cha Cha Mapinduzi (CCM), Mang'anya Rajabu amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa hotuba nzuri iliyosheheni mambo muhimu likiwemo la kuleta maridhiano miongoni mwa Watanzania, aliyoitoa katika ufunguzi wa Bunge la 
13  jijini Dodoma Novemba 14, 2025.

Ametoa pongezi hizo alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari katika Makao Makuu ya Umoja huo jijini Dodoma leo Novemba 15, 2025.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA- 0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages