Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Kilimanjaro (KIA) na kupokelewa na viongozi mbalimbali, tayari kuelekea Arusha ambako kesho, tarehe 22 Novemba, 2025, atatunuku Kamisheni kwa Maafisa wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli (TMA).
Your Ad Spot
Nov 21, 2025
RAIS SAMIA KUTUNUKU KAMISHENI KWA MAAFISA WA JWTZ MONDULI
Tags
featured#
habari picha#
Share This
About CCM Blog INVITEE
habari picha
Tags
featured,
habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot




No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇