Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kenan Kihongosi akitoa elimu jinsi ya kumpgia kura Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025. Anayeshuhudia kushoto ni Mgombea, Dkt. Samia.
Elimu hiyo ilitolewa kwa mara ya kwanza katika mkutano wa kampeni za CCM kwenye Uwanja wa Tabasamu wilayani Sengerema, Mwanza. Oktoba 7, 2025.IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA MHARIRI BLOG YA TAIFA YA CCM 0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇