Kijana na bibi wakazi wa jiji la Mwanza wakielezea sababu za kumpigia kura Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa mkutano wa kampeni za CCM katika Kata ya Buhongwa, Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza Oktoba 7, 2025.

IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇