LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 7, 2025

KIJANA, BIBI WAAHIDI KUMPIGIA KURA DKT. SAMIA, KISA DARAJA LA DKT. MAGUFULI

 Kijana na bibi wakazi wa jiji la Mwanza wakielezea sababu za kumpigia kura Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa mkutano wa kampeni za CCM katika Kata ya Buhongwa, Wilaya ya Nyamagana jijini Mwanza Oktoba 7, 2025.



IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA

MHARIRI

BLOG YA TAIFA YA CCM

0754264203


No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages