LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 1, 2025

HAI ILIVYOZIZIMA KAMPENI ZA DKT.SAMIA

Ni shangwe, vigeregere katika mkutano wa kampeni za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Bomang'ombe wilayani Hai. Kilimanjaro Oktoba Mosi, 2025.


Pamoja na mambo mengine ameahidi kujenga wilayani Hai, chuo kikubwa Cha Uhasibu CBE Kampasi ya Kilimanjaro.












 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages