LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 6, 2025

MWAKAGENDA AFANYA KWELI KAMPENI ZA DKT. SAMIA MBEYA


Sophia Mwakagenda ambaye ni mmoja wa waratibu wa kampeni za CCM Kanda ya Nyanda za Juu Kusini kupitia Umoja wa Wanawake UWT,  akifanya kampeni  Mbeya Mjini.

Mwakagenda ambaye awali alikuwa Mbunge wa CHADEMA na baadaye kuhamia CCM,  aligombea ubunge Jimbo la Rungwe kupitia CCM na kushika nafasi ya pili.




 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages