LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 19, 2025

WABUNGE WASTAAFU WAPONGEZA, WAAHIDI MAKUBWA KWA DKT. SAMIA, DKT. MWINYI

Baadhi ya wabunge wastaafu, wakimpongeza Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan na Mgombea Urais wa Zanzibar, Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwa kulinda amani na utulivu wa nchi pamoja na kudumisha Muungano lakini pia na kuleta maendeleo. Wabunge hao wametoa pongezi hizo na kuahidi kuwapigia kura katika uchaguzi Mkuu ujao, waliposhiriki katika kampeni za CCM eneo la Nungwi, Kaskazini Unguja, Zanzibar Septemba 18, 2025.



 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages