LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 29, 2025

DKT. SAMIA KUWALETEA NEEMA WAFUGAJI, KUWA NA BANDARI YA MIFUGO PANGANI

 



MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amelikubali kulifanyia Kazi ombi kuanzisha bandari ya mifugo katika ufukwe wa Bahari ya Hindi Wilayani Pangani, mkoani Tanga.


Ombi Hilo lilitolewa kwa niaba ya wananchi na Mgombea ubunge wa jimbo la Pangani, Jumaa Awesu wakati wa mkutano wa Kampeni za CCM Pangani Mjini Septemba 29, 2025.


Aidha, Dkt. Samia amelikubali pia ombi lingine la Awesu la kununua boti kwa ajili ya kusafirisha abiria wilayani humo na miji mingine.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages