LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 30, 2025

WENGI WAFURIKA MKUTANO WA KAMPENI WA CCM MVOMERO

 Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Mhe.Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na maelfu ya wananchi wa Dakawa Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro waliofurika kwenye Mkutano wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu leo Agosti 30, 2025.









.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages