LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 7, 2025

WANAFUNZI WAVUTIWA NA BANDA LA TCAA-CCC 88 D0D0MA

 


Debora Mlingo akielezea jinsi wanavyotoa elimu kwa wanafunzi na wageni wengine wanaotembelea Banda la Baraza la Ushauri la Watumiaji wa Huduma ya Usafiri wa Anga (TCAA-CCC) kwenye Maonesho ya Nane Nane ya Kitaifa na Kimataifa katika viwanja vya Nzuguni jijini Dodoma.


IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages