LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 14, 2025

RAIS SAMIA AKAGUA UJENZI WA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA MSALATO DODOMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan alipotembelea na kukagua Mradi wa Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Msalato Mkoani Dodoma wakati wa ziara yake Mkoani humo leo Juni 14,2025.

Katika ziara hiyo Rais SAMIA aliambatana na Rais wa Benki ya Maendeleo Afrika, Dkt. Akinwumi Adesina.





 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages