Jun 28, 2025

DKT. MADELE ACHUKUA FOMU KUOMBA RIDHAA YA KUGOMBEA UBUNGE DODOMA MJINI

Mshauri Mwandamizi Ofisi ya Rais, Dkt. Fabian Magawa Madele akikabidhiwa fomu na Katibu wa CCM Wilaya Dodoma, Sophia Kibaba ya kuomba kuwania ubunge Jimbo la Dodoma Mjini Juni 28, 2025.

Akisaini kwenye kitabu kwa ajili ya kuchukua fomu hizo.



 IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA
MHARIRI
BLOG YA TAIFA YA CCM
0754264203

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Pages